Yes!! Kundi la P Square toka Nigeria lina historia yake kubwa na kuheshimiwa pia kwenye muziki wa Afrika.. Peter Okoye wa P Square alishea na watu wake kwenye ukurasa wake wa Instagram post akiwa kwenye studio za kituo cha BBC London, akiigiza kama repoter wa kituo hicho.
Peter amesema anafurahi kuwa na project hiyo ambayo kwake yeye ni ishara ya uzalendo kuanzia nyumbani kwao.
Kwa habari tamu na zakuvutia toka ndani na nje ya bongo usikose kututembelea wakali wa burudani ALIWANTZ.BLOGSPOT.COM
No comments:
Post a Comment