Usiku Dec 8 wakazi wa Dar es Salaam walipata burudani kali kutoka kwa Mwimbaji wa Congo DRC Koffi Olomide kwenye show ya Selfie 16 na kusherehekea kutimiza miaka 16 ya Clouds FM iliyofanyika Escape One Mikocheni.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka eneo hilo la tukio. Baadhi ya wasanii kutoka bongo na walikuepo..
source: millardayo.com
Baraka da prince
Ruby
Christian bella hapo chini
No comments:
Post a Comment