Hivi ndivyo ilivyo kuwa katika mpambano mkali dhidi ya Mayweather na Man pacquiao.
Raia wa Ufilipino wamekubali kunyeshewa na mvua wakati walipokuwa wakishuhudia mpambano wa karne kati ya Man pacquiao na MayweatherWatoto wa Ufilipino wakishangilia wakati Man Pacquiao alipokuwa anaingia ulingoni
Angalia raia wa Ufilipino walivyokuwa wamekusanyika kushuhudia mpambano wa mbunge wao jijini Manila
Hawa ni mashabiki ambao waliambatanana Pacquiao nchini Marekani
Watu wakionesha nyuso za kusikitisha mara baada ya mchezo kuonekana unakuwa mgumu kwa Man Pacquiao
Wakati mchezo ulipokuwa unaelekea mwishoni hali ilikuwa hivi
No comments:
Post a Comment